MWANADADA anayefanya
vizuri katika kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema
watoto wanamkumbusha namna alivyoishi akiwa yatima, hivyo anawapenda
sana.
Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’.“Kiukweli, nimefurahi sana kucheza nao kwani watoto ndiyo watu pekee wanaonipa furaha katika maisha yangu kwani mimi ni mtoto yatima,” alisema.
0 comments:
Post a Comment